Sunday, August 23, 2015

True value Media: True value Media: True value Media: True value Med...



Mkurugenzi Msaidizi wa idara ya zana za kilimo-Wizara ya Kilimo,
Mhandisi Rajabu Mtunze (wapili kushoto), Mhandisi Kilimo daraja la pili, Idara
ya zana za Kilimo-Wizara ya Kilimo - Oswini Gepard (kushoto) na Katibu wa Klabu
ya michezo wizara ya Kilimo, Idara ya Utawala-Wizara ya Kilimo - Abdallah
Mbonde (kulia) wakifurahia vifaa vya michezo kutoka NMB pamoja na Meneja
Mahusiano wa Biashara za Kilimo wa NMB- Hamis Mnoni. Benki ya NMB imedhamini
vifaa vya michezo kwa watumishi wa umma vyenye thamani ya shilingi milioni 10/-
kwa ajili ya mashindano ya Shimiwi.Picha na Ismail Mang'ola

No comments:

Post a Comment